Nenda kwa yaliyomo

Vespasian

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 13:30, 28 Septemba 2019 na Riccardo Riccioni (majadiliano | michango)
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)
Shaba inayoonyesha Kaizari Vespasian

Titus Flavius Vespasianus (17 Novemba, 923 Juni, 79) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 1 Julai, 69 hadi kifo chake. Alimfuata Vitellius. Wana wake Titus na Domitian walikuwa Kaizari baada yake.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Vespasian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.